burudan

https://share.bannersnack.com/bdtkqutzy/

30 Ago 2016

Ruby Akimbilia Efm Baada ya Ugomvi wa Maslahi kati ya Mwimbaji huyo na Clouds FM

Pichani Ruby akiwa Kwenye Tamasha la EFM

Mwimbaji Ruby ambae alikuzwa na kulelewa na Clouds FM Baada ya Kufanya vizuri katika mashindano ya Fiesta Diva Nyota miaka kadhaa iliyopita amejikuta katika ugomvi wa kimaslahi na walezi wake Clouds FM baada ya kushindwana malipo katika Matamsha ya Fiesta yanayoendelea hivi sasa..

Ruby kwa sasa inaonekana amekimbili kwa washindani wa Clouds FM ambani ni EFM Radio, Radio hiyo mpya ambayo ni washindani wa Clouds FM kwa jijini Dar es Salaam wamechukua fursa hiyo na sasa wanamtumia katika matamasha yao ya Mziki Mnene Sehemu mbali mbali...

King Crazy GK Kuacha Mziki wa Rap na kuimba kama G.love yaani RnB

Rapa kutoka kundi la East Coast, King Crazy GK ameamua kuingia Studio kwa Alonem ambapo amebadili maudhui ya uimbaji wake kutoka kurap na kufanya muziki wa kuimba huku video akiifanya na muongozaji Donald kutoka Uganda.

Akipiga story ndani ya eNewz, GK amesema kuwa ushindani uliopo kwenye game la muziki tofauti na zamani ikiwa ushindani ulikuwa wa hapa tu nchini, Ila kwa sasa wameongezeka wasanii mbalimbali wanaotoka hata nje ya nchi ya Tanzania.

“Nimeamua kuimba lakini ni kutokana na game la Tanzania kubadilika, zamani tulikuwa tukishindana sisi wa Tanzania kama Juma Nature, AY na wengine lakini kwa sasa muziki wa Bongo ume'change' na kuingia mpaka wakina Wizkind, so kubadilika muhimu” amesema GK.

Hata hivyo GK amebadilisha kabisa aina ya muziki wake na kutengeneza ngoma yenye mahadhi tofauti kabisa na muziki wake huku mwenyewe akisema anaandaa mashambulizi makali ili kupambana na game la sasa.

Je Diamond katimiza ahadi yake?

Moja kati ya stori zilizoingia kwenye headlines siku ya February 1 2016 ni hii ya msanii wa Bongofleva na CEO wa record label ya Wasafi Classic Baby (WCB) Diamond Platnumz kuweka wazi kuwa kabla ya mwaka 2016 kumalizika atanunua gari aina ya Rolls Royce.
Kupitia account yake ya instagram usiku wa August 30 Diamond Platnumz alipost clip video yaRolls Royce yenye kivuli cha sura yake, inawezekana Diamond akawa ametimiza ahadi yake ya kumiliki gari hilo kabla ya mwaka 2016 kumalizika, kama Diamond atakuwa kanunua gari hilo atakuwa ni mtanzania wa pili anayefahamika kumiliki Rolls Royce baada ya makamu mwenyekiti wa zamani wa Yanga Davies Mosha.
Baadhi ya mastaa Afrika wanaomiliki gari aina ya Rolls Royce ni Koffi Olomide na staa wa soka wa zamani wa Arsenal Emmanuel Adebayor ambaye kwa sasa anaichezea Crystal Palace, bado haijajulikana Rolls Royce aliyopost  Diamond ni toleo la mwaka gani ila stori kutoka autoguide.com inaeleza kuwa Rolls Royce inauzwa zaidi ya dola laki 3 ambazo ni zaidi ya Tsh milioni 600 pia inategemeana na toleo.


Wema Sepetu kawajibu wanaosema amepata mpenzi mpya…..

Ni August 30, 2016 ambapo staa wa filamu kutoka Wema Sepetu ameziandika headlines mitandao baada ya kuwajibu mashabiki wake kupitia mtandao wa instagram kuhusu tetesi za kupata mpenzi mpya.
Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagrama kayaandika>>>Soooooooo, Rumor has it That huyu mkaka ndo New Baby…. Maskini ya Mungu…! First & Foremost, Nimeongea nae kwa simu akaniomba niweze kuwa MC and special appearance at his birthday party… I got my paycheck and did my work… Sasa sielewi Mipuuzi’
‘Inayotokwa mapovu kuuutwaaaaa kunifatilia na maisha yangu…. Nd mimi nasemaje lets jus assume it was True, Ni maisha yangu ryt…. So i dont know where all These Bia**** with LowLives wanakuja na kuanza kufatilia wats goin on in my Life’
God…!!! Nimewakosea nini Mungu wangu…. Maisha yangu yamekuwa ni deal kwenu…. Naongea na wewe unaeuza Nchi za waarabu…. Leave me and my Life alone… I keep saying this jamani, Sijawahi bother na maisha ya mtu… I do my shit…. Huyu kaka simjui na nimemjua on da nyt of his Birthday
‘Hata kumuwish sijamuwish…. Nimewish mtu mwingine Birthday ila mijitu mifala inatokwa mapovu Sasa labda niseme hivi, Wema ana maisha yake n anaishi atakavyo yeye… Maisha ya Wema hayamuhusu mtu yoyote mwingine and again, My heart belongs to someone else…. Nd I love my baby tooo much’
‘So mkiwa mnaandika vitu vyenu vya kipuuzi…. Again Im talking to you, Stupid Bi-polar Biatch…. Uwe una uhakika….. Kwani unachotaka kwangu ni nini Mbwa wewe… Wallahy never have I done this in my Life, But this has just pushed my buttons to da extent that I cannot take it anymore’
Nimekaa kimya muda mrefu sana and I aint a person dat talks too much… Ila napigiwa simu nyingi mpaka za demu wake na huyu Ally akilalamika and I had to do this…. I keep telling you unatia huruma, You need a Hug… But nat from me honey’
‘Waarabu siku hizi hawalipi nini…? Usiharibie watu bwaana… Afu ni sababu nilikukataa kuwa karibu na mimi ndo maana umenikaa rohoni au…. Maana nakuskia tu unaongeeaaa utasema u r my Mom…. Leave me the Fuck alone…!!! una bahati sana nina wisdom ila leo ningekutukana mbwa wewe’
‘But naaaaaah I got my siblings tena wadogo goin thru my page so I wouldnt want them to see things they shudnt…. But wewe Nyau… Kuna kitu unachokitafuta kwangu and utakipata soon…. If it wasnt for my baby nisingefanya huu upuuzi But My baby comes first…. I had to do this’
Soooooooo, Rumor has it That huyu mkaka ndo New Baby…. Maskini ya Mungu…! First & Foremost, Nimeongea nae kwa simu akaniomba niweze kuwa MC and special appearance at his birthday party… I got my paycheck and did my work… Sasa sielewi Mipuuzi na Mi***** inayotokwa mapovu kuuutwaaaaa kunifatilia na maisha yangu…. Nd mimi nasemaje lets jus assume it was True, Ni maisha yangu ryt…. So i dont know where all These Bia**** with LowLives wanakuja na kuanza kufatilia wats goin on in my Life…. God…!!! Nimewakosea nini Mungu wangu…. Maisha yangu yamekuwa ni deal kwenu…. Naongea na wewe unaeuza Nchi za waarabu…. Leave me and my Life alone… I keep saying this jamani, Sijawahi bother na maisha ya mtu… I do my shit…. Huyu kaka simjui na nimemjua on da nyt of his Birthday…. Hata kumuwish sijamuwish…. Nimewish mtu mwingine Birthday ila mijitu mifala inatokwa mapovu….. Sasa labda niseme hivi, Wema ana maisha yake nd anaishi atakavyo yeye… Maisha ya Wema hayamuhusu mtu yoyote mwingine….. And again, My heart belongs to someone else…. Nd I love my baby tooo much…. So mkiwa mnaandika vitu vyenu vya kipuuzi…. Again Im talking to you, Stupid Bi-polar Biatch…. Uwe una uhakika….. Kwani unachotaka kwangu ni nini Mbwa wewe… Wallahy never have I done this in my Life, But this has just pushed my buttons to da extent that I cannot take it anymore…. Nimekaa kimya muda mrefu sana and I aint a person dat talks too much… Ila napigiwa simu nyingi mpaka za demu wake na huyu Ally akilalamika and I had to do this…. I keep telling you unatia huruma, You need a Hug… But nat from me honey… Waarabu siku hizi hawalipi nini…? Usiharibie watu bwaana… Afu ni sababu nilikukataa kuwa karibu na mimi ndo maana umenikaa rohoni au…. Maana nakuskia tu unaongeeaaa utasema u r my Mom…. Leave me the Fuck alone…!!! una bahati sana nina wisdom ila leo ningekutukana mbwa wewe… But naaaaaah I got my siblings tena wadogo goin thru my page so I wouldnt want them to see things they shudnt…. But wewe Nyau… Kuna kitu unachokitafuta kwangu and utakipata soon…. If it wasnt for my baby nisingefanya huu upuuzi But My baby comes first…. I had to do this

Ukweli wa tetesi za Mr Blue kuwasiliana na Ex wake Najma…..

Headlines za Mr Blue kuwa na mawasiliano na Ex wake wa zamani Najma zimechukua nafasi sana kwenye mitandao ya kijamii, sasa leo August 30, 2016 kaeleza ukweli  kuhusiana na tetesi hizo.
star huyo aliipata heshima na kuyaongea haya>>>Sio kweli na ndio kitu ambacho kimenipa hasira kwasababu mpaka mke wangu amekasirika sana nashangaa wameongea kwenye radio kwamba mimi nimempigia  Najma’
‘Ukweli ni kwamba yeye alinipigia na kuomba kufanya collabo na mimi kwahiyo nilimwambia kwanza itabidi nizungumze na mke wangu maana anajua nilikuwa nae kwenye uhusiano kwahiyo itabidi afahamu kwamba lakini imekuwa tofauti kabisa na watu wanavyoongea’

Diamond ndani ya mdundo mmoja na staa mwingine wa Marekani……

Safari ya msanii Belle 9 kuitembelea label ya WCB amejifunza vitu vingi na kupata nafasi ya kusikiliza baadhi ya kazi mpya za Diamond Platnumz ambazo bado hazijatoka hewani.
sasa leo August 30, 2016  staa huyo ameipata heshima kwa kueleza single mbili mpya za Diamond alizosikilizishwa ikiwemo ya staa kutokea Marekani, French Montana.
Nilipofika tu ofisini kwake kuna vingi sana nimejifunza pia alinionesha bendi yake mpya ambayo ataanza kuzunguka nayo nchi mbalimbali, pili alinisikilizisha nyimbo zake mbili mpya aliyofanya na Wizkida nyingine amefanya collabo na msanii kutoka Marekani French Montana ni kazi nzuri sana’

27 Ago 2016

New Audio I Sam Misago Ft Quick Rocka - Vyura na Madanga I DOWNLOAD



Nuhu Mziwanda anakuja na hii apaa.....!!!!!!



Msanii anaetamba kwa nyimbo yake ya jike shupa akiwa na alikiba alimaarufu kwa jina la nuhu mziwanda hivi sasa anakujia na hili apa 

nuhu mziwanda kaamuwa kufungua studio yake itakayokuwa inajihusisha na utengenezaji wa auidio
pekee na siku za hivi karibuni itakuwa tayari kwa kuwa ipo kwenye hatua za mwisho za ujenzi
mziwanda kawaomba mashabiki wake wote kukaa mkao wa kula kwa kuwa hii studio sio ya kitoto


Kumekucha Ruby na CIouds FM hapatoshi aonekani kwenye show za fiesta kisa masIahi madogo

Mtandaoni wa Tizneez ametoa exclusive ya kwanini Msanii Ruby hakuonekana Mwanza wala kupanda katika jukwaa la Fiesta wakati alikuwa mmoja wa wasanii waliosajiliwa...
Hivi Ndivyo mtandao huo ulivyoandika
Exclusive Ruby Amezungumza mengi ila kati ya machache ni "Maslahi yamenifanya nisiende kwenye Fiesta, Kisa ni Clouds ndio nisiwe free na kuongea, end of the day it's not about clouds it's about my future.Katika shindano la super diva ilikuwa super diva mshindi atafanya Fiesta, wakati umefika lakini ntafanya Fiesta for nothing? Mimi sitaki kuongelea price ambayo naipata sababu nahisi nikiongea sijui watu watajiskiaje ukubwa wa show ulivyo. ...Tunakuwa na menejiment ambazo zinaendesha wasanii kimabavu, unadhani kwanini @jidejaydee wanamuita komando?? 

JE Mdau Unaona Huo Ndio Mwisho wa Ruby ? Au Clouds FM ndio wanamakosa... ?
Kwanza migogoro ilianza na Mkubwa na Wanawe , Sasa imegeuka kwa Clouds FM ambao ndio waliomtoa na kumkuza mpaka hapo alipo sasa....

New Audio I Domo Kaya - NGOMA KALI I DOWNLOAD


24 Ago 2016

New Audio I Lady Kaya Ft. Harmonize - Wivu I DOWNLOAD


New Audio I Shina The boy - Ssalam kwa mama I DOWNLOAD


New Audio I Madee Ft Dully Sykes - Safari Hii I DOWNLOAD


New Audio I Money Tree - Fiesta Imoooo! (Shabba Cover) I DOWNLOAD


New Audio I Melodyne - Pana (Swahili Vision Cover) I DOWNLOAD



NEW AUDIO I Walter Chilambo - Smile I DOWNLOAD







Na hizi ni Video 8 za bongo zilizopata airtime Trace TV , Sound City August 22 2016

Nifahari kubwa kuona ngoma za nyumbani zinapata airtime katika vituo vikubwa vya TV za kimataifa kama Trace TV na Sound City leo August 22 2016 wasanii walioingia kwenye list hii ni Diamond Platnumz,Vanessa Mdee, Nedy Music, Mayunga na Alikiba.
Mtu wangu nakusogezea ngoma 8 za bongo fleva zimepewa airtime ikiwemo‘nana‘ yaDiamond Platnumz ft Flavour‘Aje‘ ya Alikiba, ‘Nobody but me‘ ya Vanessa Mdee ft K.O‘Niroge’ ya Vanessa Mdee, ‘Usiende mbali” ya Nedy Music ft Ommy Dimpoz,Kidogo‘ ya Diamond Platnumz ft Psquare na ‘Please don’t go away‘ ya Mayunga ft Akon. 
20160822_162023
20160822_164941
20160822_171234
20160822_172346
20160822_173351
Ngoma hii YA Diamond Platnumz ‘kidogo’ imeingia kwenye Urban hit list ya trace na ndio mtanzania pekee kwenye chat hizo.
20160822_182351

New Audio I JOSE WAKILI - Follow Me I DOWNLOAD


22 Ago 2016

New Audio I Canon - Salam I DOWNLOAD


Baraka Da Prince afunguka ya moyoni

Kama utakuwa unakumbuka hivi karibuni msanii wa Bongo Fleva, Baraka Da Princekutoka kwenye label ya Rockstar 4000 aliingia kwenye headlines baada ya mpenzi wake Najma kuonekana kuwa kama mkalimani wake kwenye interview ya MTV Base.
Baraka Da Prince na aIiyaongea ya moyoni>> Unajua watanzania asilimia kubwa wanakuwa wanakurupuka sana mimi sijaona kwanza kitu cha ajabu cha mimi kutumia lugha ya Kiswahili, mimi nimeenda MTV Base nimeulizwa Je unataka kutumia lugha gani ili uwe huru nikawajibu ninaweza nikatumia lugha ya Kiingereza lakini sitokuwa huru’
‘Sasa wabongo walifurahi wengine wakasema nimeshindwa kuongea kingereza kwangu mimi nimeitangaza  lugha yangu ya kiswahili halafu Najma hakuwa mkalimani wangu mimi bali alikuwa anawambia yule mtangazaji kile ninachokizungumza mimi’- Baraka Da Prince

Alikiba aIivowafanyia suprise watu wa mwanza kwenye fiest 2016

Ni August 20, 2016 ambapo wakazi wa mkoa wa Mwanza walipata burudani kali kupitia tamasha la Fiesta ambalo liliwakutanisha wasanii wa Bongo Fleva na mkali kutokea Nigeria Wizkid kwenye jukwaa moja viwanja vya CCM Kirumba.
Sasa miongoni wasanii waliotoa burudani jukwanii ni hii ya Alikiba alivyoingia kwa suprise huku watu hawakutegemea kama hata ni miongoni mwa watakapanda jukwaani

21 Ago 2016

NEW AUDIO I ALATISH MABAWA - Leo na kesho I DOWNLOAD


HAYA SASA KUMEKUCHA SIMBA ATANGAZA DAU TENA NISIKUCHOSHE SOMA HAPA UJUE KIUNDANI ZAIDI

Mkali wa smash hit iitwayo ‘Kidogo’, Diamond Platnumz amethibitisha ujio wa mtoto wake wa pili kutoka kwa mpenzi wake Zari.
Taarifa hizo staa huyo alizitoa leo August 21, 2016 kwenye mtandao wake wa instagram na kuyaandika haya>>>Ukiwa na Mwanamke Mzuri, Superstar, Ambae shilingi Mia miambili haimpigi chenga, Halaf ana akili, Akakuzalia Mtoto wa kike’
Halaf mtoto nae Star, halaf akawa na Mimba yako Nyingine ya mtoto wakiume.. basi unajionea Mashia Muruaaaaaaaaaaaaaaaa😊😄😍😚😍…Lol yani Hapa najikuta kama sjui Biligeti Mzee wa Kwio😊😆 😘😍💞💕💝 Mi nampenda huyu dada’Diamond Platnumz