burudan

https://share.bannersnack.com/bdtkqutzy/

4 Des 2018

Gigy Money afunguka “Bora kufanya kazi na Diamond kuliko Alikiba, alinitenga Kahama”

Tokeo la picha la Gigy Money
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Gigy Money amefunguka mwanzo mwisho kuhusu kufanya kazi na wasanii wawili wakubwa nchini.

Msanii huyo amefunguka kuhusu kufanya kazi na Diamond pia na Alikiba na kusema kuwa “Alikiba anakunja sana kuliko Diamond na siku wameenda kufanya wote show Kahama, Alikiba alimtenga back stage”

Tigo Fiesta kufanyika Dar mwaka huu , yaja na surprise za kutosha

Tokeo la picha la Tigo Fiesta
Uongozi wa Clouds Media Group, umetangaza kuwa tamasha la Fiesta ambalo liliahirishwa kufanyika Dar Es Salaam mwishoni mwa mwezi Oktoba, litarudiwa tena mwezi huu.

Taarifa hizo za kurudiwa kwa tamasha hilo, zimethibitishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Clouds Media, Joseph Kusaga kupitia kipindi cha Clouds 360.

Kwa upande mwingine, bado haijaelezwa ni sehemu gani tamasha hilo litafanyika? na kiingilio kitakuwa ni shilingi ngapi?.

Tarehe 24 Oktoba mwaka huu, ni siku ambayo tamasha la Tigo Fiesta lilipangwa kufanyika, lakini baadae liliahirishwa kwa amri ya Serikali ya Manispaa ya Kinondoni.

New VIDEO: Alikiba ft Abdukiba X Cheed X Killy X K-2GA – Toto

New VIDEO: Nonini ft. Prezzo – Mpaka Chini

NEW AUDIO I IMMA STAR - PAMBANA


New VIDEO: Jose Chameleone Ft. Papa Cidy – Tonsuna