Majani ambaye miezi ya hivi karibuni amekuwa busy studio kurekodi miradi mipya, ameweka picha ya wakali hao Instagram na kuandika: Ferooz’s new group just finished recording vocals. ( The new Daz Nundaz )and all of them are artist!! #Wabeshi.
Majani anafahamika kwa kuwa na mchango mkubwa kwa kundi la Daz Nundaz ambalo lilitoa wasanii wakubwa akiwemo Ferooz na Daz Baba.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni