
Kwenye ile orodha ya mashabiki wa damu wa Mwanahiphop Fid Q inabidi umuongeze na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda ambaye January 20 alitumia time yake kupost kipande cha video ya Fid Q na kuandika>>’Hakika umetubeba hakuna bingwa na mbabe ktk anga hizi kama wewe, huna mbwembwe na ujumbe unafika’ #Mzikimgum‘
‘Kinachotukosha zaidi ni vile unavyoutumia muda wako wa mapumziko vyema kwa kufuatilia na kusapoti kazi za sanaa za vijana wa taifa letu kama mimi’ – Fid Q
‘Ubarikiwe zaidi bro.. 🙏🏿 Na kama utapata muda usisahau kuclick kwenye ile LINK iliyopo kwenye BIO yangu.. kuna NGUMU nyingine mpya inaitwa ‘ KEMOSABE ‘ nimeiweka jana.. yote na yote mkuu.. Asante sana kwa #loveyahelayote 🙏🏿 😇’.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni