
‘Mama alikuwa anamteta mwanae, sijaona kama ni kosa mama kumtetea mwanae kwa sababu ni utamaduni wa mama wa kiafrika, ila jana nimeshaongea naye nimemuomba msamaha sehemu ambayo nimemkosea japo mimi sijutii na kile ambacho nimekifanya kwa sababu sijakosea nilichokifanya ni kutaka haki yangu, haki yangu nimeipata’
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni