burudan

https://share.bannersnack.com/bdtkqutzy/

30 Mei 2018

Kati ya Rihanna, Wizkid na Yemi Alade, mmoja wapo ana kolabo na Nandy


Msanii wa muziki Bongo, Nandy ametaja orodha ya wasanii wa kimataifa ambao anatamani kufanya nao kazi.

Muimbaji huyo anayetamba na ngoma ‘Ninogeshe’ amewataja wasanii hao kuwa ni Rihanna, Wizkid na Yeme Alade, huku akiweka wazi kuwa kazi na Yemi Alade ipo tayari.

“Wapo kama watatu Yeme Alade, kuna Wizkid and Rihanna, kila mtu ana wish, ipo kazi kwa mmoja; Yeme Alade,” Nandy ameiambia Hot90 Fm.

Katika hatua nyingine Nandy amesema kuwa katika maisha yake ya kimahusiano angetamani kujaliwa kupata watoto mapacha.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni