burudan

https://share.bannersnack.com/bdtkqutzy/

1 Nov 2017

Anachojivunia Feza Kessy kwa sasa


Msanii wa muziki Bongo na Mtangazaji wa Choice Fm, Feza Kessy amefunguka anachojivunia kwa sasa ni mafanikio yaliyofikiwa na ngoma yake ‘Kaa Kijanja’ ambayo amemshirikisha Nikki wa Pili.

Muimbaji huyo amesema ngoma hiyo imeweza kumpeleka katika hatua nyingine kabisa ukilinganisha na hapo awali.

“Nafikiri imeniweka katika position nzuri kama female artist wa Tanzania, so I thanks my supporter, am very happy, am very great full kwa sababu imenitoa from one level to another, sasa hivi nipo kwenye  level nzuri naweza kusema kwa sababu ya Kakaa Kijanja” amesema Feza.

Feza kwa sasa ametajwa kuwania tuzo za Afrima katika kipengele cha Best Female Artiste in Eastern Africa, tuzo hizo zinatarajiwa kutolewa November 10 hadi 12 mwaka huu Lagos nchini Nigeria.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni