burudan

https://share.bannersnack.com/bdtkqutzy/

30 Mac 2017

Maneno ya Lionel Messi baada ya kufungiwa na FIFA kwa kumtukana refa


Baada ya Lionel Messi kufungiwa mechi nne na shirikisho la soka la kimataifa (Fifa) baada ya kudaiwa kumtukana muamuzi wa pembeni.

Wakati wa mchezo dhidi ya Chile uliyochezwa March 24 2017, baada ya kufungiwa Lionel Messi mtandao wa bleacherreport ulimtafuta Lionel Messi na haya ndio yalikuwa maneno yake.

“Maneno yangu hayakuwa yamemlenga moja kwa moja muamuzi msaidizi, kuna maneno ambayo yalikuwa yamesemwa kwangu mimi nilijisemea tu” >>> Lionel Messi

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni