burudan

https://share.bannersnack.com/bdtkqutzy/

29 Sep 2017

Diamond awasha taa nyekundu Instagram


Diamond anazidi kufurahia mafanikio anayoendelea kuyapata kila kukicha.

Msanii huyo kutoka WCB amekuwa staa wa kwanza Bongo kufikisha followers milioni 4 kwenye mtandao wa Instagram.



Furaha hiyo ya Diamond inasindikizwa na bashasha la kuona wimbo wake mpya aliouachia kwa kushtukiza ‘Hallelujah’ ambao amewashirikisha kundi la Morgan Heritage kutoka Jamaica, kufanikiwa kutazamwa zaidi ya mara laki sita kabla ya masaa 24 tangu alipouachia.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni