burudan

https://share.bannersnack.com/bdtkqutzy/

15 Sep 2017

Wema Sepetu hakamatiki Instagram


Hakuna ubishi kuwa Wema Sepetu ni mmoja ya warembo wa Afrika Mashariki mwenye nguvu kubwa ya mashabiki. Umaarufu wake unazidi kuongozeka kiasi ambacho umemfanya afikishe followers milioni 3 kwenye mtandao wa Instagram.

Wema anaendelea kushikilia rekodi yake ya kuwa mrembo wa kwanza Bongo kuwa na idadi kubwa ya followers kwenye mtandao huo.

Umaarufu wa mrembo huyo umezidi kuteka vichwa vya habari kwa takribani miaka 11 tangu aliposhinda taji la Miss Tanzania mwaka 2016.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni