burudan

https://share.bannersnack.com/bdtkqutzy/

19 Okt 2017

AY aupa kisogo muziki?, afungua bucha la nyama

Bila haka siku moja ungependa kuhudumiwa na staa unayemhusudu. Taarifa zikufikie kwamba msanii Ambwene Yessaya maarufu kama AY amefungua bucha la kuuza nyama na unaambiwa yeye ndio muuzaji.

 Picha hii hapa juu inaonesha mazingira ya bucha hilo ambayo hadi sasa bado hatujajua inapatikana maeneo gani. Mkali huyo wa Bongo Fleva ameonekana kuimudu vyema kazi yake mpya na anaifurahia, tunamtafuta AY kwa mahojiano zaidi na tutayaleta kwako ili kufahamu zaidi kazi hii mpya aliyoamua kuifanya.



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni