burudan

https://share.bannersnack.com/bdtkqutzy/

7 Okt 2017

Kala Jeremiah aweka wazi siku atakayoachia ngoma mpya


Je unahamu ya kusikia ngoma mpya kutoka kwa Kala Jeremiah?

Baada ya kupita kwa takribani mwaka mmoja na miezi miwili bila ya kusikia ngoma mpya kutoka kwa msanii huyo, mwenyewe amethibitisha kuwa Jumanne ya Oktoba 10 ataachia wimbo wake uitwao ‘Kijana’ ambao amemshirikisha Fetty Kalumba.

Wimbo huo umetayarishwa na producer Zest. Kupitia mtandao wa Instagram Kala ameweka kava ya wimbo huo mpya anaotarajia kuuachia na kuandika, “TAREHE 10-10-2017 KWENYE REDIO YAKO NA TV YAKO WOTE MNAKARIBISHWA. #KIJANA @kijana_0444 @fettykalumbu.”

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni