burudan

https://share.bannersnack.com/bdtkqutzy/

30 Ago 2016

Diamond ndani ya mdundo mmoja na staa mwingine wa Marekani……

Safari ya msanii Belle 9 kuitembelea label ya WCB amejifunza vitu vingi na kupata nafasi ya kusikiliza baadhi ya kazi mpya za Diamond Platnumz ambazo bado hazijatoka hewani.
sasa leo August 30, 2016  staa huyo ameipata heshima kwa kueleza single mbili mpya za Diamond alizosikilizishwa ikiwemo ya staa kutokea Marekani, French Montana.
Nilipofika tu ofisini kwake kuna vingi sana nimejifunza pia alinionesha bendi yake mpya ambayo ataanza kuzunguka nayo nchi mbalimbali, pili alinisikilizisha nyimbo zake mbili mpya aliyofanya na Wizkida nyingine amefanya collabo na msanii kutoka Marekani French Montana ni kazi nzuri sana’

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni