burudan

https://share.bannersnack.com/bdtkqutzy/

27 Ago 2016

Kumekucha Ruby na CIouds FM hapatoshi aonekani kwenye show za fiesta kisa masIahi madogo

Mtandaoni wa Tizneez ametoa exclusive ya kwanini Msanii Ruby hakuonekana Mwanza wala kupanda katika jukwaa la Fiesta wakati alikuwa mmoja wa wasanii waliosajiliwa...
Hivi Ndivyo mtandao huo ulivyoandika
Exclusive Ruby Amezungumza mengi ila kati ya machache ni "Maslahi yamenifanya nisiende kwenye Fiesta, Kisa ni Clouds ndio nisiwe free na kuongea, end of the day it's not about clouds it's about my future.Katika shindano la super diva ilikuwa super diva mshindi atafanya Fiesta, wakati umefika lakini ntafanya Fiesta for nothing? Mimi sitaki kuongelea price ambayo naipata sababu nahisi nikiongea sijui watu watajiskiaje ukubwa wa show ulivyo. ...Tunakuwa na menejiment ambazo zinaendesha wasanii kimabavu, unadhani kwanini @jidejaydee wanamuita komando?? 

JE Mdau Unaona Huo Ndio Mwisho wa Ruby ? Au Clouds FM ndio wanamakosa... ?
Kwanza migogoro ilianza na Mkubwa na Wanawe , Sasa imegeuka kwa Clouds FM ambao ndio waliomtoa na kumkuza mpaka hapo alipo sasa....

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni