burudan

https://share.bannersnack.com/bdtkqutzy/

24 Sep 2016

Bushoke: Watu wengi wananiomba nifanye wimbo na Christian Bella

13628450_1022930347814908_1334417226_n

Hebu fikiria Dunia Njia na Usilie vikiunganishwa na kuwa wimbo mmoja itakuaje?

Au Bushoke na Christian Bella wakiingia studio kufanya wimbo wa pamoja! Hicho ni kitu ambacho mashabiki wengi wanakitamani.
Akiongea na mtangazaji wa ABM Radio ya Dodoma, Dj Rodger, Bushoke amesema amekuwa akiambiwa na watu wengi afanye wimbo na Bella na kwamba mpango huo upo.
Bushoke amedai kuwa mashabiki wanaamini kuwa collabo yake na Bella itakuwa tofauti na itafanya vizuri pia kajipanga na hii game ya sasa na kawaaomba mashabiki wake kuwa tayar kuipokea collabo hio matata soon itakuja 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni