burudan

https://share.bannersnack.com/bdtkqutzy/

30 Nov 2016

Alikiba adaiwa kumtupia dongo Diamond baada ya kuandika amewaona ‘Simba Original’

Jumanne hii ilikuwa ni birthday ya mkali wa wimbo Aje, Alikiba ambapo aliungana na uongozi wake kwenda mbuga ya wanyama ya Serengeti National Park kwa ajili ya kusherekea siku hiyo muhimu katika maisha yake.
rayx
Alikiba akiserebuka na mrembo mmoja wa kizungu
Hata hivyo mkali huyo amechafua hali ya hewa mitandaoni baada ya kuposti picha yake wakati akisherehekea siku yake ya kuzaliwa na kuandika maneno kuwa anawaangalia Simba Original ambapo ujumbe huo umetafsiriwa kama kijembe kwa staa mwenzake Diamond Platnumz ambaye naye ujiita Simba.
zzzzaa
Haya ni baadhi ya maoni ya mashabiki hao katika mitandao ya kijamii.
pius_____himself
Kumbe we @officialalikiba ni pimbi tu, achana na hizo mambo za kiki braza piga kazi.. Unataka tu watu waseme
ts_zizahTeam
kitunguu buana ss mtu kaona simba original hamtaki aseme mnataka aandike tumbili au nungunungu huku hatutafutagi kiki bwana kik tunayo toka 2010 tulivyoimba na R kelly so kajambeni mbele huko #simbaoriginal
h_wa_wcb
Mbona unapiga vijembe baada ya kupiga kazi au kwakua umekaribishwa kwenye busta na wewe upate kiki jenga nyumba usijenge majungu@officialalikiba

ms_ticky

Hahahahha @officialalikiba watu wanatokwa mapovu hatari… Mie namuona simba OG sasa Povu la nn… Wamepanick balaaa
tony_k_tz
@mcute_mcute njoo umuone cmba original simba anaish polin cio mjin๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
jennifernatubhai
@zero2hero3 ahahaaaa yaan mtaishia kuongea tu lkn maisha ya kiba hamtayajua ng’ooo kwasbb sio mpenda sifa mbona siku iliyoonyeshwa nyumba yake povu liliwatoka? Eti anawatt wengi wengine alizaa na ww? Naisitoshe kwani alishakuomba kibaba ili watt wake wale? Kajiandaee

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni