burudan

https://share.bannersnack.com/bdtkqutzy/

26 Nov 2016

Darassa adai muziki wake hauwezi kuchuja

Rapper Darassa amedai kuwa muziki anaofanya ni wa kuishi milele ndio maana nyimbo zake haziwezi kuchuja.
14583380_1795519663993381_1232498486868443136_n
Akiongea na Times FM, Darassa amesema, “Natengeneza muziki wa kuishi milele, ndio maana ‘Utanipenda’ na ‘Too Much’ hazichuji.”
Kwa sasa Darassa ni mmoja kati ya rapper wa kizazi kipya ambao wanafanya vizuri huku wimbo wake aliouachia siku chache zilizopita ‘Muziki’ aliomshirikisha Ben Pol ukionekana kufanya vizuri kwenye vituo mbalimbali vya redio na runinga.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni