burudan

https://share.bannersnack.com/bdtkqutzy/

22 Okt 2016

Alikiba na Sauti Sol walivyozungumza na waandishi wa habari

Tuzo za MTV MAMA huwa na shughuli nyingi za awali siku moja kabla ya usiku wenyewe wa utoaji ambao kwa mwaka huu ni Jumamosi hii. Ijumaa Alikiba na maswahiba wake wa Kenya, Sauti Sol wanaowania pamoja tuzo hiyo, walizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na ushirikiano wao na mambo mengine. Hizi ni baadhi ya picha hizo.
4eece476-aba6-4fcd-9d40-c1191770181e
Member wa kundi la Sauti Sol, Savara (wa pili kulia) akielezea jambo mbele ya waandishi wa habari
84fe651e-6fe4-4cf4-800f-dd93ab8dad97
Member , mpiga gitaa na producer wa kundi la Sauti Sol, Fancy Fingers (wa kwanza kushoto) akisisitiza jambo
94a8b324-99e0-49a1-b29a-6e2e4e51e75b
Alikiba akielezea jambo kwa waandishi wa habari
5135d97a-c2c1-4d25-8c26-2c96f26f4299
Alikiba akiwa na furaha tele kuzungumza na waandishi wa habari, Ijumaa hii jijini Jozi

e8b85083-724b-47f2-a904-a3ecccbba469

e54dcd16-07d0-442c-93a5-60f28428b4f2

e1285560-4359-40d0-8dab-082a9334e7c7
f0f5b46b-e89b-4a36-91aa-c7d169e7cef9

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni