burudan

https://share.bannersnack.com/bdtkqutzy/

22 Okt 2016

Msanii Chidy Stress afanyiwa mapokezi mazito na Mheshimiwa.........


Msanii wa kizazi kipya hivi karibuni alifanyiwa mapokezi mazito na Mbunge wa wilaya ya kilindi Mheshimiwa Omar Kigua hata hivo mheshimiwa huyo alijawa na furaha kwa kumuona huyu msanii Chidy Stress
Chidy Stress aliyasema hayo wakati akiongea na G.lovetz kwamba mengi wameyazungumza na mheshimiwa huyo ikiwemo na kusukuma gurudumu la maendeleo pia wote waliafikiana kufanya kazi kwa kujituma alisema msanii huyo
Pia hakutaka kuweka wazi kuhusu kazi mpya inayokuja ila alisema kazi mpya inakuja soon na watu wangu wategemee kitu kizuri kutoka kwangu na location tayari tumeshaingia na ni kazi nzuri sana ambayo kila mtu akiiona lazima ataipenda kwa sasa namalizia michakato yangu ili nikiachia ngoma iniweke mahali pazuri,amaliza Stress

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni