burudan

https://share.bannersnack.com/bdtkqutzy/

14 Okt 2016

Ruby na Yemi Alade waungana kwenye Coke Studio Africa msimu wa 4

desiigner-interview
Msanii wa kike mwenye sauti ya dhahabu kwenye Bongo Fleva, Ruby ameongeza idadi ya wasanii kutoka Tanzania wanaoshiriki kwenye kipindi cha Coke Studio Africa Season 4.
Huu ni msimu wa kwanza kwa Ruby kushiriki kwenye kipindi hicho ambapo ameungana na msanii wa Nigeria, Yemi Alade kutengeneza mchanganyiko wa nyimbo zao tofauti tofauti.
Wasanii wengine wa Tanzania walioshiriki kwenye kipindi hicho kwa msimu huu wanne ni pamoja na Joh Makini, Vanessa Mdee, Yamoto Band na Diamond aliyeshiriki Coke Studio Za. Tazama video hapa chini.

Jiunge na g.loveTZ.com sasa

Gusa HAPA kwa kumjua zaidi

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni