burudan

https://share.bannersnack.com/bdtkqutzy/

22 Okt 2016

Juu ya Vanessa na Jux yaingia kwenye playlist ya The Beat London FM ya UK

Wimbo wa Vanessa Mdee na Jux ‘Juu’ umeingia kwenye playlist ya kituo cha redio cha The Beat London FM ya Uingereza.
14717556_1155079124586248_382814176008994816_n
Baada ya taarifa hiyo kupitia mtandao wa Instagram, Vanessa Mdee ambaye yupo nchini Marekani kwa ajili ya tamasha la One Africa Music, ameandika, “Mad love to ALL THE DJs AROUND THE WORLD bumping #Juu ðŸ’œAsante Sana. Na bado tunaenda Juu baby. #London is switched on.”
14712431_692500844253202_2890857476649910272_n
Kwa sasa imeonekana ni hatua kubwa muziki wa Bongo Fleva umepiga kwa kuanza kupata tobo lake ikiwa ni mwezi moja umepita tangu kituo cha redio cha BBC Radio 1Xtra kuutangaz\a wimbo wa ‘Kidogo’ wa Diamond kuingia kwenye playlist ya kituo hicho.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni