burudan

https://share.bannersnack.com/bdtkqutzy/

21 Jan 2017

Changamoto ni nyingi sana lakini kila msanii ana changamoto zake asema SOUBER SNEARTZ katika interview na G.LOVETZ BLOGSPOT

Picha ya Souber Sneartz
Msanii anaekuja kwa kasi ya ajabu ameanza kuwa gumzo la mtaani kwa sasa na ngoma yake mpya ya sina raha amemweleza g.lovetz kuwa ana mpango wa kufanya makubwa katika mziki huu na kufika mbali
malengo yangu kufika mbali kimziki kila mtu ajue anijue na afahamu nafanya kitu gani,pia nawaambia mashabiki wangu wasapoti mziki wangu na video itakuja hivi karibuni

waweza kusikiliza na ku dawnload INTERVIEW  ya souber sneartz na G.LOVETZ gusa HAPA

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni