burudan

https://share.bannersnack.com/bdtkqutzy/

21 Jan 2017

‘Sijutii kile ambacho nimekifanya kwa sababu sijakosea’-Madee

kupita XXL ya clouds FM, Soudy Brown ametuletea U Heard inayomhusu Madee na mama Makavaka baada ya pande hizo mbili kuwepo kwenye mgogoro uliopelekea mpaka Madee kuchukua simu ya mama huyu,  Madee alipozungumza na Soudy, ameyasema haya…..

‘Mama alikuwa anamteta mwanae, sijaona kama ni kosa mama kumtetea mwanae kwa sababu ni utamaduni wa mama wa kiafrika, ila jana nimeshaongea naye nimemuomba msamaha sehemu ambayo nimemkosea japo mimi sijutii na kile ambacho nimekifanya kwa sababu sijakosea nilichokifanya ni kutaka haki yangu, haki yangu nimeipata’

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni