burudan

https://share.bannersnack.com/bdtkqutzy/

23 Mei 2017

Ushauri wa Young Killer kwa Dogo Janja


Baada msanii Dogo Janja kuwauliza mashabiki wake kupitia mtandao, wakipata fursa ya kumshauri watamshauri kuhusu jambo gani, Young Killer ameamua kuchukua jukumu hilo na kumshauri msanii huyo.

Young Killer amemshauri kwa kusema ‘Fanya kolabo na mimi nikukalishe but then nikutangaze kimataifa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni