burudan

https://share.bannersnack.com/bdtkqutzy/

2 Des 2016

‘Mimi ninavyong’anganiwa na wanawake naanzaje kumbaka’-Nay wa Mitego

Stori zilianza wiki iliyopita ambapo Nisha aliandika kuwa ana mimba ya mwanaume ambaye waliachana muda mrefu na baadaye alirudi na kumbaka, hakumtaja jina lake ila akasema ni msanii, kwa mujibu wa taarifa za Soudy Brown mhusika wa mimba hiyo ni Nay wa Mitego. Soudy Brown amepiga stori na Nay wa Mitego…….
>>>’hizi stori naziona, sipendi kuonekana nashindana na mwanamke, huwa nakaa kimya lakini nimeona vimezidi yeye ana vichochea sijui anatengeneza kiki lakini hii inanichafua, iko hivi mimi sijaonana na huyo msichana karibu mwaka wa tatu sasa, sijui nashirikishwaje kwenye suala la mimba mara naambiwa nimembaka, mimi ninvyogombaniwa na wanawake naanzaje kumbaka’;-Nay wa Mitego

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni